
Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako – ya mwingine Mungu anayafanyia kazi – hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo ya mtu mwingine kunaweza kuathiri mpango wa Mungu katika maisha yake. Hivyo, acha.

Enock Maregesi
citas, citas célebres, citas de Enock Maregesi, citas famosas, declaraciones de Enock Maregesi, diálogos de Enock Maregesi, dichos famosos, frase célebre, frases, frases célebres, frases célebres de Enock Maregesi, frases de Enock Maregesi, frases famosas, frases hechas, obras de Enock Maregesi, proverbios, refranes,
© Licencia cedida a FraseaME.
Licencia CC BY-NC 4.0
📲 Copia este código QR para compartir la frase dónde quieras
¿Quieres publicar tus pensamientos, reflexiones o tus propias frases?
Publica tus obras